magonjwa
31 January 2024, 8:14 pm
Jaji Mkuu aibua hoja kukabiliana na uharifu nchini
Kongamano hilo limeandaliwa na Mahakama ya Tanzania kupitia chuo cha uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) . Na Mindi Joseph.Jaji mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma leo amefungua kongamano la siku moja la kujadili masuala ya makosa ya uharifu jijini Dodoma.…
19 May 2023, 4:38 pm
Asilimia 92 ya watumiaji wa mahakama nchini waridhishwa na huduma
Wafanyakazi wa mahakama wamejipambanua kwa kufanikisha na kusongeza huduma za utoaji haki karibu na wananchi. Na Mindi Joseph. Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma amesema Asilimia 92 ya watumiaji wa mahakama wameridhishwa na utoaji wa huduma kutoka kwa majaji…
3 May 2023, 5:38 pm
Mahakama kuu divisheni ya kazi yaahidi kushirikiana na osha
Dkt. Mlyambina amemshukuru Mtendaji Mkuu wa Usalama na Afya mahali pa kazi (OSHA) kwa kuridhia mpango wa utoaji Elimu kwa Menejimenti ya Mahakama Kuu Divisheni ya kazi. Na Alfred Bulahya. Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi Mhe. Yose …
28 March 2022, 2:30 pm
Watoto wenye upungufu wa damu na maumivi ya viungo wametakiwa kupelekwa hospital…
Na;Yussuph Hassan. Wito umetolewa kwa Wazazi na Walezi Jijini Dodoma kuwapeleka vituo vya afya watoto wenye upungufu wa damu na maumivu ya viungo mara kwa mara, kwani inawezekana ikawa moja wapo ya dalili ya ugonjwa wa seli mundu (siko…
27 January 2022, 3:24 pm
Jamii yatakiwa kutambua ugonjwa wa ukoma unaambukizwa kwa njia ya hewa
Na; Pius Jayunga. Jamii imetakiwa kutambua kuwa ugonjwa wa ukoma unaambukizwa kwa njia ya hewa na hivyo kuna haja ya kuchukua tahadhari ikiwemo kuongeza mzunguko wa hewa katika makazi. Mratibu wa ukoma kutoka wizara ya afya Dr. Dues Kamara ameyasema…
10 December 2021, 12:50 pm
Jamii yatakiwa kuacha imani potofu juu ya mtoto anae zaliwa na tatizo la mdomo w…
Na ;Benard Filbert. Wakazi jijini Dodoma wameiomba serikali kutoa elimu ya kutosha katika jamii kutokana na imani potofu hususani kwa watoto wenye tatizo la mdomo wazi ambao wamekuwa wakihusishwa na imani za kishirikina. Hayo yameelezwa na wakazi hao wakati wakizungumza…