

28 September 2023, 2:47 pm
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imewaomba wadau wa tasnia ya maziwa nchini kupunguza bei ya maziwa ya Shs 1800 kwa nusu lita ili Mpango wa Unywaji Maziwa kwa watoto wote shuleni ufikie malengo. Kauli hiyo imetolewa jana kwenye…
18 September 2023, 2:29 pm
Mara kadhaa Wizara ya Afya pamoja na taasisi mbalimbali za afya nchini zimekuwa zikitoa ushauri kwa jamii kuzingatia ulaji wa lishe bora lengo ikiwa ni kuimarisha afya na kinga ya mwili. Na Diana Massae. Jamii imetakiwa kuzingatia ulaji wa vyakula…
16 August 2023, 5:09 pm
Lishe ni muhimu kwa afya ya Watoto na Watu wazima ambapo ulaji duni kwa Watoto unaweza kusababisha mashambulizi ya maradhi kama vile utapiamlo na udumavu wa mwili. Na Yussuph Hassan. Ukata wa Maisha pamoja na Elimu duni kwa baadhi ya…
30 June 2023, 5:34 pm
Ulaji unaofaa kwa kuzingatia makundi matano ya vyakula unajenga kinga ya mwili na kukabiliana na maambukizi ya magonjwa mbalimbali. Na Mindi Joseph. Jamii imehimizwa kuendelea kuzingatia mlo kamili ikiwemo makundi matano ya chakula ili kujenga familia zenye afya bora. Savera…
1 June 2023, 1:17 pm
Jamii inapaswa kuzingatia ulaji wa mlo kamili unaojumuisha makundi yote ya vyakula vya jamii ya nafaka, ya mizizi, ya wanyama, ya mikunde mbogamboga matunda sukari na asali. Na Bernadetha Mwakilabi. Wadau wa lishe nchini wameombwa kusaidiana na serikali kuisaidia jamii…
17 April 2023, 4:50 pm
Mboga lishe ni miongoni mwa bidhaa za mbogamboga zinazopatikana katika masoko mbalimbali jijini Dodoma ingawa bidhaa hii imekuwa ikipatikana kwa uchache . Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa mboga lishe jijini Dodoma wamesema kuwa ukosefu wa elimu pamoja na…
31 March 2023, 6:21 pm
Maadhimisho hayo yalianza Mwezi januari na kuhitimishwa leo Machi 31 katika hospitali ya Makole iliyopo hapa jijini Dodoma. Na Fred Cheti. Halmashauri ya Jiji la Dodoma imehitimisha maadhimisho ya siku ya afya na Lishe ya mtoto ambayo ilianza kuadhimishwa katika…
29 June 2022, 1:38 pm
Na;Mindi Joseph. Ukosefu wa lishe bora kwa watoto wachanga chini ya miezi 6 umetajwa kuwa chanzo cha watoto kupata utapiamlo. Akizungumza na taswira ya habari Juma Swedi afisa lishe hospital ya Rufaa Mkoa wa Dodoma amesema ukuaji wa mtoto una…
9 June 2022, 3:32 pm
Na;Mindi Joseph Chanzo. Serikali imeahidi kufanya Uwekezaji Kitaifa katika lishe nchini kama sehemu ya mapambano dhidi ya utapiamlo kuanzia ngazi ya Kaya hadi Taifa. Akizungumza Jijini Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. George…
2 September 2021, 2:24 pm
Chanzo: Dawati Rais wa Jamhuri yamuungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inatarajia kujenga madarasa zaidi ya 500 kwa shule za msingi na sekondari Nchi nzima kupitia makato katika tozo mbalimbali. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo alipokuwa…