Kilimo,
4 April 2024, 5:39 pm
Halmashauri ya Dodoma yaongeza uzalishaji wa Zabibu
Katika kipindi cha miaka 3kuanzia 2021-2024 miche 113,306 imeweza kuzalishwa. Na Fred Cheti.Halmshauri ya jiji la Dodoma imefanikiwa kuongeza uzalishaji wa zao la zabibu ambalo ndio zao kuu la kimkakati katika jijini la Dodoma . Hayo yameelezwa na bi Yustina…
18 March 2024, 12:36 pm
Bwawa Mtwango Ndachi lainua vijana kiuchumi
Mabwawa ya asili yanatumika kufugia samaki na mara nyingi bwawa la asili linaweza kupatikana ama kuwezekana kuundwa maeneo yenye udongo wa mfinyanzI na udongo huu una sifa kubwa ya kuhifadhi maji. Na Mindi Joseph. Uwepo wa Bwawa Mtwango katika Mtaa…
26 February 2024, 5:38 pm
Wakulima waomba elimu ya mbegu bora mapema kabla ya msimu wa kilimo
Wakulima wanakumbushwa kuendelea kutumia mbegu bora ili waweze kupata mavuno mazuri pia wanashauriwa kukagua mbegu hiwa kabla ya kuzinunua ili kuthibitisha alama ya ubora. Na Mariam Kasawa. Wakulima wameomba kupatiwa elimu ya mbegu mapema kabla ya msimu wa kilimo kuanza …
23 February 2024, 5:10 pm
Wananchi wakosa elimu ya kutosha utunzaji wa mbegu
Wakulima wanashauriwa kutumia mbegu bora kwa kununua mbegu katika duka lililosajiliwa na TOSCI ili kusaidia kubaini nani anayesambaza mbegu zisizo na ubora na kurahisisha namna ya kutatua changamoto itakayokuwa imejitokeza. Na Mindi Joseph. Uhifadhi sahihi wa mbegu umetajwa kuwa changamoto…
22 April 2022, 1:32 pm
Ongezeko la bajeti laleta tumaini katika kuboresha kilimo cha umwagiliaji
Na;Mindi Joseph. Serikali imesema ina matarajio makubwa ya utekelezaji wa Miradi ya Kilimo cha Umwagiliaji kutokana na ongezeko kubwa la Bajeti ya fedha za miradi ya Maendeleo kwa Mwaka wa fedha 2022 – 2023. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa…
15 February 2022, 4:27 pm
Wakulima washauriwa kulima mazao ya muda mfupi
Na; Neema Shirima. Kutokana na kuwa na mvua za wastani katika mwaka huu wananchi wa mkoa wa Dodoma wameshauriwa kulima mazao ya muda mfupi na yanayostahimili mvua za wastani Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa mtaa wa Pinda kata ya Zuzu…
9 February 2022, 2:58 pm
Wakulima watakiwa kuendelea na shughuli za kilimo bila kuhofia mvua
Na; Benard Filbert. Licha ya mvua kuwa chini ya wastani msimu huu imeelezwa bado kuna uwezekano mkubwa wa kupata mazao yakutosha kwa wakulima wa mazao mbalimbali kanda ya kati. Hayo yanajiri kufuatia baadhi ya wakulima kuwa na wasiwasi wa kupata…
14 December 2021, 1:50 pm
Teknolojia ya kisasa kilimo cha umwagiliaji yawanufaisha wakulima
Na; Mindi Joseph. Wakulima katika skimu za kilimo cha umwagiliaji wametaja kunufaika na teknolojia ya kisasa ambayo ni mbadala wa matumizi ya rasimali maji. Baadhi ya wakulima kutoka Kiwere na Mafuruto, wamesema wamenufaika na teknolojia hiyo maarufu kwa jina la…
8 December 2021, 1:07 pm
Tume ya Taifa ya umwagiliaji imesema itaendelea kujenga miundonu pamoja na mabwa…
Na;Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imesema itaendelea kukabiliana na maadiliko ya tabianchi kwa kutumia teknolojia zinazotumia maji kidogo na kujenga miundombinu pamoja na mabwawa ya kutunza maji. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume hiyo Bw. Daudi Kaali amesema mabadiliko…
2 November 2021, 11:28 am
Wakulima wa kanda ya kati washauriwa kuandaa mbegu zinazo stahimili ukame
Na; Benard Filbert. Kufuatia taarifa za mamlaka ya hali ya hewa msimu huu kuwa na mvua chini ya wastani kanda ya kati wakulima wameshauriwa kuandaa mbegu zinazoendana na hali hiyo. Hayo yameelezwa na mkuu wa idara ya kilimo wilaya ya…