Dodoma FM

jinsia

16 April 2024, 9:45 am

Ushirikishwaji wa wenza katika kumiliki mali

Tumemtembelea katika sehemu yake ya biashara katika mtaa wa mkonze Jijini Dodoma na hapa anatueleza namna kipindi cha Sanuka kilivyo changia kubadirisha mfumo wake wa maisha yake. Na Mwandishi wetu. Leo tunaangazia ushirikishwaji wa wenza katika kumiliki mali ambapo leo…

3 March 2022, 3:05 pm

Tanzania kuendelea kusimamia usawa wa kijinsia

Na; Mariam Matundu. Tanzania imezihakikishia nchi za Umoja wa Afrika kuendelea kusimamia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kiuchumi katika sekta mbalimbali na kuwawezesha kupata fursa katika sekta hizo Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,…