jamii
11 April 2024, 4:41 pm
Umiliki wa mali kwa usawa
Usikose kesho kwenye sehemu ya pili ambapo utafahamu ni jitihada gani zinafanyika kuwasaidia wanawake wanaoshindwa kumiliki mali kwa Usawa. Na Seleman Kodima.Leo tunaangazia Umiliki wa mali kwa Usawa ambapo Imeelezwa kuwa mwanamke anahaki ya msingi ya kumiliki mali kama ilivyo…
28 March 2024, 8:09 pm
Waumini wa Kikristo watakiwa kuiadhimisha Pasaka kwa kutenda mema
NaThadei Tesha. Waumini wa dini ya kikristo wametakiwa kuiadhimisha siku ya alhamisi kuu kwa kutenda matendo mema pamoja na kufanya toba. Wakristo kote ulimwenguni wakiwemo wa kanisa Wakatoliki wanaungana katika kuadhimisha siku ya alhamisi kuu,siku hii ikiwa ni mwendelezo wa…
16 March 2022, 2:06 pm
Faundation for civil society yajadili utoaji huduma bora za kijamii
Na;Mindi Joseph . Taasisi ya Foundation for civil society Leo imekutana na wadau wa habari Kujadili namna ya kuimarisha na kuboresha utoaji wa huduma bora za kijamii kwa wananachi. Akizungumza na Taswira ya Habari Afisa Program Mwandamizi Nicolaus Mhozya amesema lengo…
18 September 2021, 3:14 am
MAGAZETI YA LEO 18 SEPTEMBER 2021
17 September 2021, 4:01 am
MAGAZETI YA LEO 17 SEPTEMBER 2021
16 September 2021, 3:09 am
MAGAZETI YA LEO 16 SEPTEMBER 2021
15 September 2021, 3:37 am
MAGAZETI YA LEO 15 SEPTEMBER 2021
14 September 2021, 3:13 am
MAGAZETI YA LEO 14 SEPTEMBER 2021
13 September 2021, 1:21 pm
Watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani wametajwa kuwa katika hatari ya kufanyiw…
Na;Mariam Matundu. Watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani wametajwa kuwa katika hatari ya kufanyiwa vitendo vya ukatili ikwemo kubakwa na kulawitiwa pamoja na kutumikishwa katika magenge yakihalifu. Hayo yamesemwa na katibu mkuu wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee…
13 September 2021, 6:08 am