Dodoma FM
haki
22 July 2021, 8:10 am
Wazazi wametakiwa kuzingatia haki za watoto katika familia
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa wazazi katika jamii kuzingatia haki za watoto wakati wa maamuzi mbalimbali katika familia. Akizungumza na Dodoma fm msaidizi wa kisheria kutoka Wilaya ya Chamwino Haroni Amos Malima amesema kuwa watoto wanatakiwa kushiriki mambo mbalimbali…