haki za binadamu
30 November 2021, 12:56 pm
Serikali yapongezwa kwa kuruhusu wanafunzi waliopata ujauzito kurudi shule
Na; Yussuph Hans. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imepongeza hatua ya serikali kuruhusu wanafunzi waliopata ujauzito kurudi shuleni baada ya kujifungua. Akitoa taarifa hiyo Jijini Dodoma Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora,…
20 August 2021, 11:15 am
Wananchi na Serikali watakiwa kuzingatia na kuzilinda haki za binadamu
Na; Benard Filbert. Serikali pamoja na wananchi wameombwa kuzingatia na kuzilinda haki za binadamu ili kuepusha uvunjifu wa amani katika jamii. Hayo yameelezwa na mwanasheria Daniel Mayula kutoka taasisi ya SAUTI YANGU ambayo imekuwa ikijihusisha na utetezi wa haki za…
18 August 2021, 1:19 pm
Tume ya haki za binadamu kushirikiana na LHCR
Na; Alfred Bulahya. Tume ya haki za Binadamu na Utawala Bora imesaini mkataba wa makubaliano mengine ya kushirikiana kufanya kazi na kituo Cha sheria na haki za Binadamu LHCR Kwa ajili ya kulinda, kutetea na kustawisha haki za makundi maalumu…