Elimu
24 April 2024, 6:48 pm
Wafahamu Maadui walio ibuka baada ya ujinga , maradhi na umaskini
Mashindano ya mdahalo kwa wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo Dodoma yanahusisha wanachama wa klabu za wapinga Rushwa kutoka shule za msingi, sekondari na vyuo. Na Seleman Kodima.Serikali imesema baada ya kufanikiwa kupambana na maadui watatu ambao ni…
23 February 2024, 5:38 pm
Msiwabebeshe mzigo watoto, fuateni mtaala wa elimu
Mafunzo hayo kwa walimu wa elimu ya awali yana lengo la kuhalalisha elimu ya awali kuwa bora kwa mkoa mzima wa Dodoma. Na Mariam Kasawa. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.James Mdoe amewataka walimu wa madarasa…
6 April 2022, 3:39 pm
Shule shikizi kilio cha wananchi wengi vijijini
Na; Victor Chigwada. Changamoto ya usajili wa shule shikizi imekuwa kilio Cha maeneo mengi nchini licha ya kuwa shule hizo zimekuwa zikijengwa kwa lengo la kupunguza umbali kwa wanafunzi au kupunguza idadi ya wanafunzi kwa shule mama. Kijiji cha Mima…
28 March 2022, 3:14 pm
Wanafunzi watakiwa kuacha kujihusisha na mapenzi
Na; Neema Shirima. Wanafunzi wa kike wameshauriwa kuachana na kujihusisha na mapenzi ili kuepuka kupata magonjwa mbalimbali ya zinaa kama vile ukimwi Haya yamezungumwa ikiwa imesalia mwezi mmoja wanafunzi wa kidato wa sita kufanya mitihani yao ya mwisho ya kuhitimu…
23 March 2022, 2:53 pm
Uhaba wa madawati bado ni changamoto katika sekta ya elimu
Na ;Victor Chigwada . Mbali na changamoto ya vyumba vya madarasa pamoja na walimu katika shule za msingi na sekondari lakini uhaba wa madawati nao umeongeza changamoto katika sekta ya elimu Kata ya Mpalanga Wilaya ya Bahi ni miongoni mwa…
15 March 2022, 1:40 pm
Wazazi acheni kushinikiza watoto wajifelishe.
Na;Mindi Joseph . Wazazi Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wametakiwa kuachana na tabia ya kuwashinikiza watoto kujifelisha katika masomo yao. Kauli hiyo imetolewa na Afisa Elimu Michezo Wilayani humo Nicholaus Achimpota ambapo amesema hali hiyo inapelekea kurudisha nyuma maendeleo ya elimu…
7 March 2022, 1:28 pm
Wazazi watajwa kuwa chanzo cha watoto kuacha shule
Na; Neema Shirima. Imeelezwa kuwa baadhi ya wazazi wamekuwa chanzo cha watoto wao kutokukwenda shule kutokana na kutowanunulia vifaa vya shule pamoja na sare za shule Hayo yamesemwa na diwani wa kata ya Hombolo bwawani bwn Andrew Mseya wakati akizungumza…
7 March 2022, 12:43 pm
Serikali yaombwa kufanya ukarabati katika shule kongwe za msingi
Na; Mariam Matundu. Serikali imeombwa kufanya ukarabati wa majengo katika shule kongwe za msingi ili kukabiliana na changamoto ya uchakavu wa majengo unaoathiri ufundishaji hasa kwa watoto wenye ulemavu. Shule ya msingi Iboni iliyopo wilayani Kondoa ni miongoni mwa shule…
9 February 2022, 3:51 pm
Wakazi wa Chididimo waiomba serikali iwatatulie kero ya upungufu wa walimu
Na; Neema Shirima. Wakazi wa mtaa wa Chididimo kata ya Zuzu wameiomba serikali iwaongezee waalimu katika shule iliyopo katika mtaa huo. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema katika shule ya msingi Chididimo waalimu ni wachache jambo ambalo linawafanya…
8 February 2022, 4:45 pm
Ukosefu wa chakula shuleni wapelekea wanafunzi kutofanya vizuri
Na; Neema Shirima. Hali ya ukosefu wa chakula kwa wanafunzi katika baadhi ya shule za msingi jijini Dodoma inachangia wanafunzi kutofanya vizuri darasani pamoja na utoro Akizungumza na taswira ya habari mwalimu mkuu msaidizi wa shule ya msingi Chitabuli iliyopo…