Dodoma FM

Elimu

23 February 2024, 5:38 pm

Msiwabebeshe mzigo watoto, fuateni mtaala wa elimu

Mafunzo hayo kwa walimu wa elimu ya awali yana lengo la kuhalalisha elimu ya awali kuwa bora kwa mkoa mzima wa Dodoma. Na Mariam Kasawa. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.James Mdoe amewataka walimu wa madarasa…

6 April 2022, 3:39 pm

Shule shikizi kilio cha wananchi wengi vijijini

Na; Victor Chigwada. Changamoto ya usajili wa shule shikizi imekuwa kilio Cha maeneo mengi nchini licha ya kuwa shule hizo zimekuwa zikijengwa kwa lengo la kupunguza umbali kwa wanafunzi au kupunguza idadi ya wanafunzi kwa shule mama. Kijiji cha Mima…

28 March 2022, 3:14 pm

Wanafunzi watakiwa kuacha kujihusisha na mapenzi

Na; Neema Shirima. Wanafunzi wa kike wameshauriwa kuachana na kujihusisha na mapenzi ili kuepuka kupata magonjwa mbalimbali ya zinaa kama vile ukimwi Haya yamezungumwa ikiwa imesalia mwezi mmoja wanafunzi wa kidato wa sita kufanya mitihani yao ya mwisho ya kuhitimu…

15 March 2022, 1:40 pm

Wazazi acheni kushinikiza watoto wajifelishe.

Na;Mindi Joseph .                                     Wazazi Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wametakiwa kuachana na tabia ya kuwashinikiza watoto kujifelisha katika masomo yao. Kauli hiyo imetolewa na Afisa Elimu Michezo Wilayani humo Nicholaus Achimpota ambapo amesema hali hiyo inapelekea kurudisha nyuma maendeleo ya elimu…

7 March 2022, 1:28 pm

Wazazi watajwa kuwa chanzo cha watoto kuacha shule

Na; Neema Shirima. Imeelezwa kuwa baadhi ya wazazi wamekuwa chanzo cha watoto wao kutokukwenda shule kutokana na kutowanunulia vifaa vya shule pamoja na sare za shule Hayo yamesemwa na diwani wa kata ya Hombolo bwawani bwn Andrew Mseya wakati akizungumza…