corona
4 November 2021, 11:44 am
Hali ya utoaji na upokeaji chanjo ya uviko 19 inaridhisha
Na; Mariam Matundu Imeelezwa kuwa hali ya utoaji na upokeaji chanjo ya uviko 19 inaridhisha kwakuwa wananchi wamehamasika na wanajitokeza kwa wingi hasa wananchi wanaoishi vijijini . Aidha wanawake wametajwa kujitokeza kwa wingi katika kupata chanjo hiyo maeneo yote nchini…
12 October 2021, 1:14 pm
Elimu ya kujikinga na uviko 19 yawafikia wananchi wa vijijini Mkoani Dodoma
Na;Yussuph Hans. Jitihada za kufikisha Elimu ya kuchukuwa tahadhari na kujikinga dhidi ya Ugonjwa unaoenezwa na Virusi vya korona UVIKO-19, inaelezwa elimu hiyo imewafakiwa vyema hadi wakazi wa maeneo ya vijiji mbalimbali Mkoani Dodoma. Hayo yanajiri kufuatia Taswira ya Habari…
5 October 2021, 11:19 am
Wananchi watakiwa kupata elimu sahihi juu ya chanjo ya uviko 19
Na; Shani Nicolous. Kufuatia zoezi la kuendelea kujikinga na Uviko 19 Dodoma imeonekana kuwa na mwitikio mkubwa katika suala la uchanjaji. Akizungumza na Taswira ya habari Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Jabir Shekimweli amesema kuwa kuna mwitikio mkubwa wa…
4 October 2021, 1:44 pm
Mkoa wa Dodoma unaongoza kwa kutoa chanjo ya uviko 19
Na; Selemani Kodima . Imeelezwa kuwa mkoa wa Dodoma unaongoza kwa utoaji chanjo ya Ugonjwa wa Uviko -19 ambapo kati ya chanjo Elfu Hamsini ambazo zilitolewa kwa ajili ya Ugonjwa Uviko-19 ,tayari chanjo elfu thelathini zimetumika . Hayo yameelezwa na…
20 September 2021, 11:54 am
Matumizi ya pombe katika mikusanyika yachangia maambukizi ya uviko 19
Na; Shani Nicolous. Imeelezwa kuwa matumizi ya pombe katika jumuiya na kwenye mikusanyiko yanachangia kwa kiasi kikubwa maambukizi ya uviko 19. Akizingumza na Taswira ya habari Dr. Missan Yango kutoka hospitali ya Mkoa Dodoma amesema kuwa kutumia pombe sehemu za…
6 September 2021, 11:48 am
Serikali imesema itaendelea kuhamasisha wananchi kuchukua tahadhari na kuchanja…
Na; Selemani Kodima. Serikali imesema itaendelea kuhamasisha wananchi kuchukua tahadhari na kuchanja chanjo ya Uviko 19 huku pia wakiendelea kuhamasisha kutumia njia nyingine za kujikinga na Ugongwa huo. Akizungumzia Umuhimu wa wananchi kuchanja chanjo ya Uviko -19 Dkt Baraka Nzobo…
2 September 2021, 1:53 pm
Serikali imesema itaendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya namna ya kujikinga n…
Na ; Fred Cheti. Serikali imesema kuwa itaendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya namna ya kujikinga na ugonjwa wa Uviko 19 pamoja na kuimarisha utoaji wa huduma za afya katika maeneo yote Nchini ili kukabiliana na ugonjwa huo. Kauli…
15 July 2021, 12:21 pm
Wakazi wa Jiji la Dodoma wametakiwa kuhakikisha wanajilinda dhidi ya maambukizi…
Na;Yussuph Hans. Rai imetolewa kwa wakazi wa Jijini la Dodoma kuhakikisha wanajilinda dhidi maambukizi ya virusi vya korona, kwa kuhakikisha wanapunguza safari zisizo na ulazima pamoja na kuvaa barakoa katika mikusanyiko. Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma…