biashara
20 March 2024, 5:42 pm
Wawekezaji wakaribishwa Idifu kuanzisha miradi mbalimbali
Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imekuwa na mpango wa matumizi bora ya ardhi ambapo mpango huo umekuwa ukiratibiwa chini ya mradi wa uwezeshaji usalama wa milki za ardhi unao simamiwa na Serikali kwa kushirikiana na Bank ya Daunia. Na Victor…
12 February 2024, 3:24 pm
BRELA, FCC zatajwa kuchochea maendeleo sekta ya viwanda na biashara
Wakala wa usajili wa biashara na leseni Tanzania (BRELA) na Tume ya ushindani Tanzania (FCC)zimekutana na kamati ya kudumu ya Bunge ya viwanda ,Biashara ,kilimo na Mifugo kutoa semina ya nana taasisi hizo zinatekeleza majukumu yao na kuleta mchango katika…
9 February 2024, 6:01 pm
Vitambulisho vya kidijitali ni muhimu kwa wafanyabiashara wadogowadogo
Maafisa tehama, biashara na maendeleo ya jamii kutoka mikoa yote nchini wamekutana jijini Dodoma katika mafunzo ya ya mfumo wa usajili wa machinga . Na Mariam Matundu.Imeelezwa kuwa vitambulisho vya kidigitali kwa wafanyabiashara wadogowadogo vitawezesha kuwaunganisha wafanyabiashara hao na mifumo…
11 April 2022, 4:11 pm
Wananchi watakiwa kutumia fursa mwezi wa Ramadhani
Na;Yussuph Hassan. Wananchi Mkoani Dodoma wameshauriwa kutumia fursa zinazopatikana kupitia Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kupunguza ugumu wa maisha. Ushauri huo umetolewa na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mustafa Rajabu wakati akizungumza na kituo hiki ambapo amesema…
20 September 2021, 11:42 am
Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC) lazindua kanzi data ya wa…
Na; Mariam Matundu . Baraza la taifa la uwezeshaji wananchi Kiuchumi (NEEC)linatarajia kuzindua Kanzi data ya wafanyabiashara wa Tanzania ili kuongeza wigo wa uwekezaji. Hayo yamesemwa na Katibu Mtendaji wa baraza hilo Beng’i Issa wakati alikitoa taarifa juu ya Kongamano…
24 August 2021, 2:02 pm
Mgogoro wa ardhi wakwamisha ujenzi wa vyoo vya gulio Chilonwa
Na; Selemani Kodima. Imeelezwa kuwa mgogoro wa eneo ambalo lilitakiwa kujengwa matundu ya vyoo katika Gulio la Chilonwa ni sababu ya kuchelewa ujenzi wa matundu hayo. Hayo yameelezwa na Diwani wa Kata ya Chilonwa Bw Alpha Msuza wakati akielezea mkakati…
20 August 2021, 12:15 pm
Serikali yawataka maafisa biashara kufanya kazi kwa ushirikiano na weledi
Na;Mindi Joseph. Serikali imewataka Maafisa biashara kufanya kazi kwa ushirikiano na weledi ili kuboresha huduma kwa wananchi na kupunguza kero pamoja na kuepuka kupokea rushwa. Akizungumza leo wakati wa kufunga mafunzo ya maafisa biashara Jijini Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara…
16 August 2021, 1:21 pm
Maafisa biashara watakiwa kuzingatia utoaji bora wa huduma
Na;Mindi Joseph. Maafisa Biashara wametakiwa kuzingata Utoaji wa huduma bora ili kuchangia wafanyabiashara kurasimisha biashara zao na kuingia katika zama za ushindani wa kibiashara. Akizungumza leo jijini Dodoma katika ufunguzi wa mafunzo ya maafisa bisahara Afisa Mtendaji Mkuu BRELA Bw.…
22 July 2021, 6:25 am
Wajasiriamali wanufaika na udhamini wa taasisi ya Pass Trust
Na;Mindi Joseph . Takribani Wajasiriamali milioni 1.7 wamenufaika na udhamini wa taasisi ya Pass Trust ambayo imelenga kupunguza umasikini nchini kwa kuwezesha upatikanaji wa mitaji kwa wakulima. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Kaimu Mkurungezi wa Pass Trust Annah…
12 July 2021, 10:20 am
Ukosefu wa mitaji na masoko ya kuuzia bidhaa ni changamoto kwa wajasiriamali wen…
Na; Mariam Matundu. Baadhi ya wajasiriamali wenye ulemavu Mkoani Dodoma wamesema ukosefu wa mitaji na masoko ya bidhaa zao ni moja ya sababu zinazopelekea wengi wao kushindwa kujiinua kiuchumi. Mwita Marwa ambae ni mjasiriamali mwenye ulemavu amesema kutokana na changomoto hizo…