Ardhi
26 March 2024, 7:42 pm
Wanchi Ndachi wakumbwa na sintofahamu Mgogoro wa Ardhi
Mtaa wa Ndachi umekuwa ukiandamwa na migogoro ya ardhi kwa muda mrefu sasa ambapo kwa mujibu wa mwenyekiti wa Mtaa huo migogoro hiyo bado ina sintofahamu. Na Mindi Joseph.Wananchi wa Mtaa wa Ndachi kata ya Mnadani wamesema hawajui hatima yao…
6 March 2024, 6:54 pm
Malipo yakwamisha urasimishaji wa ardhi Ihumwa
Zoezi hilo la urasimishaji linahusisha zaidi ya viwanja 2500 kwa upande wa mtaa wa ihumwa A ambapo inaelezwa kwa ni viwanja visivyozidi 100 ndivyo vimelipiwa. Na Victor Chigwada.Kusuasua kwa Malipo ya zoezi la Urasimishaji wa ardhi katika kata ya Ihumwa…
15 February 2024, 4:01 pm
Wananchi Majeleko walalamika kucheleweshewa fedha za fidia
Mradi BBT umebeba program ya ajira kwa vijana kupitia sekta ya kilimo ambapo ilizinduliwa mnano Agosti 3-2022 na kuanza majaribio katika mikoa ya miwili ya Dodoma na Mbeya . Na Victor Chigwada.Wakazi wa kata ya Majeleko wilayani Chamwino wamelalamika kucheleweshewa…
20 January 2022, 4:18 pm
Wakazi wa Ihumwa waomba elimu ya urasimishaji Ardhi iongezwe kwa wananchi
Na; Neema Shirima. Imeelezwa kuwa licha ya kutolewa elimu katika baadhi ya maeneo ya Dodoma kuhusiana na suala la upimaji na urasimishaji wa maeneo bado baadhi ya wananchi hawajapata elimu ya kutosha kuhusiana na zoezi hilo. Hayo yamebainishwa na bwn…
6 September 2021, 11:38 am
Jamii yatakiwa kuwapa wanawake kipaumbele cha kumiliki rasilimali
Na;Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa Wanawake wamekuwa na Mchango mkubwa katika familia, Jamii ikiwapa kipaumbele cha kumiliki Rasilimali. Hayo yamebainishwa na Afisa Maendeleo ya Vijana Halmashauri ya Jiji la Dodoma Bw Mfungo Manyama wakati akizungumza na kituo hiki ambapo amesema ni…
6 September 2021, 10:17 am
Wakazi wa kata ya Mtanana wanatarajia kupitisha makubaliano ya kukodisha shamba…
Na; Benard Filbert. Ungozi wa kata ya Mtanana wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma unatarajia kupitisha makubaliano na wananchi ya kukodisha shamba lenye ukubwa wa heka 107 ili fedha hizo zitumike katika ujenzi wa madarasa pamoja na Zahanati. Hayo yameelezwa na…
12 August 2021, 11:48 am
Wakazi wa Ndachi watarajia ahueni ya migogoro ya ardhi baada ya zoezi la upimaji…
Na; Mariam Matundu. Kufutia mgogoro wa ardhi wa muda mrefu katika Mtaa wa Ndachi Jijini Dodoma hatimae wakazi wa Mtaa huo wanatarajia kupata ahuweni kutokana na kukamilika kwa upimwaji wa viwanja. Taswira ya habari imezungumza na mwenyekiti wa mtaa huo…
11 August 2021, 12:13 pm
Wakazi wa kijiji cha Kawawa walalamikia kukosa maeneo mbadala baada ya maeneo ya…
Na; Shani Nicolous. Wananchi wa kijiji cha Kawawa kata ya msanga Wilaya ya Chamwino wamelalamikia kutokupewa maeneo mbadala ya kuishi baada ya kupimwa maeneo yao na kufanywa hifadhi ya wanyama. Wakizungumza na Dodoma fm wananchi hao wamesema kuwa nikipindi kirefu…
26 July 2021, 10:59 am
Mashamba ya zabibu kuto guswa katika zoezi la upimaji ardhi Dodoma
Na;Mindi Joseph. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini Mhe.Jabir Shekimweri amesema Mkoa hautagusa mashamba ya kilimo cha zabibu wakati zoezi la upimaji wa viwanja likiwa linaendelea jijini Dodoma. Akizungumza na Taswira ya habari Mh Jabir amesema Mkoa wa Dodoma wote…
19 July 2021, 9:53 am
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ameisimamisha kazi kampuni ya upimaji wa ardhi eneo la Mi…
Na ;Benard Filbert. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh. Antony Mtaka ameisimamisha kampuni ya upimaji wa ardhi ambayo imekuwa ikitekeleza kazi zakeĀ eneo la kata ya Mkonze. Mtaka ametoa agizo hilo baada ya kusikiliza kero za wananchi wa mitaa mbalimbali…