Dodoma FM

Ligi ya wilaya yaanza jijini Dodoma

12 April 2021, 2:06 pm

Na; Matereka Junior

Ligi ya wilaya imeanza rasmi jana na mechi ya ufunguzi imewakutanisha kati ya WAGONGA NYUNDO 3-0 NZUGUNI RANGERS.

Katibu wa DUFA, Omarooh Omar amezungumzia kuanza kwa ligi hii. CLIP OMAROH