
Ushirikiano

15 March 2023, 11:48 am
Parokia ya Katumba Yatoa Msaada kwa Watoto Yatima
MPANDA Katika kuazimisha kipindi cha mfungo wa kwaresima parokia ya kanisa katoliki Katumba imetoa msaada wa zaidi ya laki saba kwa kituo cha kulelea watoto yatima na wanaotoka katika mazingira magumu kilichopo kata ya nsemlwa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi.…

15 August 2022, 6:48 am
Rais Samia kuongoza Ujumbe wa Tanzania DRC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atarajia kuwasili jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Jumanne ya Agosti 16,2022, katika Mkutano wa kawaida wa 42 wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Rais…

6 July 2021, 12:15 pm
Watumishi wa wizara za maji na mamlaka zake watakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wat…
Na; Pius Jayunga. Waziri wa maji Jumaa Aweso amewataka watumishi wa Wizara ya maji na mamlaka zake kuwa na lugha nzuri kwa wateja wao ili kuchochea utoaji wa huduma bora za maji kwa wananchi maeneo mbalimbali Nchini. Kauli hiyo ameitoa…