
Ushirikiano

10 November 2023, 1:44 pm
TMA yawataka wananchi kuchukua tahadhari kutokana na mvua.
Mamkala ya hali ya hewa Tanzania TMA imewataka wananchi Katavi kuchukua tahadhari ya kujikinga na madhara ya mvua. Na John Benjamin – Katavi Mamkala ya hali ya hewa Tanzania TMA imewataka wananchi mkoani Katavi kuchukua tahadhari ya kujikinga na madhara…

20 October 2023, 5:43 am
Mrindoko awaonya watendaji wazembe
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewaonya watendaji wa zembe katika ngazi ya Kata,Mitaa na Maafisa Tarafa Na Bertold Chove – KataviMkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewaonya watendaji wa zembe katika ngazi ya Kata,Mitaa na Maafisa Tarafa…

19 October 2023, 19:15
Mbeya kupunguza maambukizi ya malaria ifikapo 2025
Dunia imeendelea kupambana na ugonjwa wa maralia hivyo Tanzania kama nchi haina budii kuuangana na dunia katika kutimiza hilo,hali hiyo imefika mpaka ngazi za chini katika kuendeleza jitihada za kutokomeza maralia katika ngazi ya familia. Na mwandishi wetu Mbeya Mkuu…

6 September 2023, 3:54 pm
Baraza la Mji Kati laonyesha mfano jinsi ya kutumia tozo
Na Mwandishi wetu. Wananchi wameshauriwa kusimamia maelekezo ya Serikali ikiwemo kudumumisha usafi katika maeneo ya makaazi wanayo ishi. Mkurugenzi wa Baraza la Mji Mkoani Pemba Yussuf Kaiza Makame ameyasema hayo katika ziara ya kimafunzo iliyo husisha Madiwani 10, Watendaji 7…

18 July 2023, 16:16
Watu 29 mbaroni kwa tuhuma za ramli chonganishi Mkoani Kigoma
Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma limesema litaendelea kutoa elimu kwa jamii kuachana na vitendo vya ramli chonganishi ambavyo husababisha uvunjfu wa amani. Na, Josephine Kiravu Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma linawashikilia watuhumiwa 29 wakiwa na vifaa vya kufanyia ramli chonganishi…

20 May 2023, 1:32 pm
Wanahabari mkoani Iringa wahudhuria bunge la bajeti Dodoma kwa mwaliko wa mbunge…
Na Hafidh Ally Waandishi wa habari mkoani Iringa wamehudhuria Bunge la 12, Mkutano wa 11 Kikao cha 29 cha Bunge la Bajeti kusikiliza Upitishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari. Wanahabari hao wamefika bungeni kwa…

2 May 2023, 9:41 am
Katavi yapanda miti milioni 6 tangu mwezi Februari
NSIMBO Serikali mkoa wa Katavi imesema miti milioni sita imepandwa toka mwezi wa Februari mwaka huu katika halmashauri za mkoa wa Katavi. Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amebainisha hayo wakati akizungumnza na wananchi wa Kijiji Cha Isinde halmashauri…

15 March 2023, 11:48 am
Parokia ya Katumba Yatoa Msaada kwa Watoto Yatima
MPANDA Katika kuazimisha kipindi cha mfungo wa kwaresima parokia ya kanisa katoliki Katumba imetoa msaada wa zaidi ya laki saba kwa kituo cha kulelea watoto yatima na wanaotoka katika mazingira magumu kilichopo kata ya nsemlwa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi.…

15 August 2022, 6:48 am
Rais Samia kuongoza Ujumbe wa Tanzania DRC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atarajia kuwasili jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Jumanne ya Agosti 16,2022, katika Mkutano wa kawaida wa 42 wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Rais…

6 July 2021, 12:15 pm
Watumishi wa wizara za maji na mamlaka zake watakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wat…
Na; Pius Jayunga. Waziri wa maji Jumaa Aweso amewataka watumishi wa Wizara ya maji na mamlaka zake kuwa na lugha nzuri kwa wateja wao ili kuchochea utoaji wa huduma bora za maji kwa wananchi maeneo mbalimbali Nchini. Kauli hiyo ameitoa…