

21 September 2023, 15:47
Mkoa wa Mbeya ni moja ya mkoa wa Nyanda za Juu Kusini ambao umeanza leo zoezi la utoaji wa chanjo kwa watoto wenye umri wa miaka nane hii ni kutokana na uwepo wa mkoa wa katavi kuwa na kisa cha…
20 September 2023, 16:51
Afisa chanjo Halmashauri ya Mbeya Christopher Mathias akiwa katika kipindi cha Nuru ya asubuhi akitoa elimu ya umhimu wa chanjo kwa watoto chini ya umri wa miaka nane(picha na Hobokela Lwinga). Kama ilivyo ada katika jamii yetu mtoto akizaliwa tu…
19 September 2023, 12:46
Mazingira ni sehemu yoyote inayomzunguka binadamu na mazingira hayo ili kuepusha athari ikiwemo magojwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu hayana budii kuyalinda kwa kuhakikisha yanakuwa safi wakati wote. Na Sadoki Mwaigaga Wafanyabiashara wa soko la Sido jijini Mbeya wameshauriwa kutoa ushirikiano…
18 September 2023, 20:14
Msingi wa binadamu ni afya na unapo kuwa na afya ni lazima uilinde,katika maisha ya binadamu yeyote wakati anazaliwa ni lazima apewe ulinzi wa afya yake kwa kupatiwa chanjo ya magonjwa mbalimbali,hivi karibuni serikali imekuwa na msisitizo wa kila mtanzania…
18 September 2023, 19:47
Kufanya kazi kwa weledi ni sehemu ya binadamu anayejitambua na kutambua nafasi yake na ukitaka kupongezwa ni lazima uoneshe weledi wa kazi yako, ishi ukijua maisha yako yanategemea maisha ya mwingine. Na Mwandishi wetu Mkuu wa mkoa wa Mbeya Comrade…
15 September 2023, 22:46
Wanasema kinga ni bora kuliko tiba,ili uweze kuwa salama huna budii kukubaliana na ushauri wa wataalamu wa afya unaopatiwa juu ya afya yako.kila binadamu tangu kuzaliwa kwake lazima apewe chanjo ili kuweza kuimarisha afya yake, hali hiyo ukiwa kama mzazi…
11 September 2023, 12:49
Katika maisha ya binadamu kumekuwa na mifumo mbalimbali ya maisha, ambapo watanzania walio wengi wana tabia ya kutozingatia afya hasa katika suala la ulaji hali inayowafanya wakumbwe na magonjwa mbalimbali. Na Hobokela lwinga Kutokana na mifumo mbalimbali ya maisha kuchangia…